Kiswahili articles

Swahili with Mariana: Mwandishi Mlezi wa Kiswahili

Swahili With Mariana: Mwandishi Mlezi wa Kiswahili Na Felix Odhiambo Mariana Kweyu ni mwalimu wa Kiswahili na anapenda watoto wadogo. Yeye ni mtu anayezungumza lugha zaidi ya moja na anapenda kushirikiana na wazungumzaji wa lugha zingine. Mariana anathamini ufundi na ubunifu wa waandishi hivyo, yeye ni mmoja wa wasomaji wa vitabu katika kikundi cha Nairobi

Swahili with Mariana: Mwandishi Mlezi wa Kiswahili Read More »

Vijana, Kuungana na Maarifa ni Asili ya Mageuzi

Vijana, Kuungana na Maarifa ni Asili ya Mageuzi Na Sitati Wasilwa Wiki chache zilizopita, mwanahabari tajika, Linus Kaikai, alizungumzia swala la vijana katika uongozi, hususan katika siasa za Kenya. Katika maelezo yake, alikariri jinsi wanasiasa hawa vijana walivyofeli kutoa mwongozo mwafaka kwa nchi ambayo takribani asilimia sabini na tano ya idadi ya watu wana umri

Vijana, Kuungana na Maarifa ni Asili ya Mageuzi Read More »

Open chat
1
Need help?
Writers Guild Kenya
Hello.
How can we help you?